AfyaMtandao

All Blog / News Posts (86)

MISEREOR empressed with CSSC achievements

High rank officials from German Catholic Bishops’ Organisation for Development Cooperation (MISEREOR)visited CSSC HQ and said they are impressed with CSSC’s achievements especially in supporting its member institutions to provide quality social services in the country, health and education services in particularly.

The officials were Dr. Martin Bröckelmann-Simon…

Continue

Added by sona on November 20, 2012 at 9:34 — 1 Comment

HR System in faith based health facilities

THRP%20NEWSLETTER%20FIRST%20EDITION.pdf

As part of its THRP intervention last quarter the Christian Social Services Commission that runs hospitals in its five zones in Tanzania, deployed HR Information System at Mbalizi designated district hospital. The use of HRIS…

Continue

Added by sona on November 14, 2012 at 12:30 — No Comments

CSSC to produce HRIS video

Christian Social Services Commission (CSSC) has conducted film documentation to 3 facilities in Tabora and Kigoma at CSSC western zone to show the use of Human resource system in health facilities and its benefits to strengthen data quality for utilization. The aim of this documentation is to increase awareness about the use of this HR electronic system in health facilities…

Continue

Added by sona on November 8, 2012 at 12:51 — No Comments

Hospitali Teule ya Muheza na mfumo wa Kompyuta kwa watumishi (HRIS)

Tume ya Kikristo ya Huduma za jamii (CSSC) kanda ya mashariki imetoa vifaa na kufunga mfumo wa kuhifadhi taarifa za watumishi kwa njia ya Kompyuta ili kurahisisha upatikanaji wa taarifa sahihi za watumishi na kuwezesha menejimenti ya hospitali kupanga na kutoa maamuzi yahusuyo watumishi kulingana na taafifa hizo.



Kabla ya kufungwa mfumo huo hospitalini hapo, watumishi…

Continue

Added by sona on October 17, 2012 at 10:32 — No Comments

CSSC yakabidhi Majengo hospitali ya Cardinal Rugambwa

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema itaendelea kuboresha zaidi ushirikiano na sekta binafsi yakiwemo mashirika ya dini, kwa kuboresha zaidi mazingira yatakayowezesha sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika utoaji wa Huduma za afya.

Hayo yamesemwa na Waziri wa afya na ustawi wa jamii Dk. Hussen Mwinyi katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Kaimu…

Continue

Added by sona on October 17, 2012 at 8:51 — No Comments

Third Round PBF Training for Health Workers in Rungwe District

This is the third and last round for PBF training for Rungwe District Health Staff. This year, the training involved 20 participants from: church health facilities, District Medical Officers Office, from Project and Church health Department.

It was officially opened by the District Medical Officer for Rungwe District Council on 25th September 2012 at Catholic Youth Centre in Tukuyu, though the training started on 24th September 2012. In his brief opening speech, the DMO acknowledged the…

Continue

Added by Sule, T.Michael on October 10, 2012 at 13:26 — 3 Comments

CRS envoy hailed CSSC’s development

       

Catholic Relief Service (CRS) President, Dr Carolyn Woo has hailed CSSC’s development and expansion in taking        over   AIDSRelief activities in the Lake Zone.

Dr Woo said that when she visited CSSC Headquaters in Dar es Salaam on 6th October, 2012 to meet new CSSC Executive Director Mr Peter Maduki and ART project implementing team.

The president…

Continue

Added by Ernest Earl Itwana on October 10, 2012 at 9:30 — No Comments

Awamu ya pili ya mradi wa tunajali

Tume ya Kikrsito ya Huduma za jamii yaani Christian Social Services Commission (CSSC), kwa kushirikiana na Kampuni ya Deloitte Consulting Ltd, imeanza utekelezaji wa programu maalamu inayolenga kujumuisha matibabu ya ukimwi na programu imarishi kwa lengo la kutoa Huduma na matibabu bora yanyolingana na thamani ya fedha za wafadhili.



Mradi huo unaojulikana…

Continue

Added by sona on October 9, 2012 at 12:39 — No Comments

Mikataba zaidi ya Huduma za Afya yasainiwa Tanzania

Tangu kusainiwa kwa mkataba wa kwanza wa utoaji Huduma za afya kati ya Halmashauri ya Lushoto na Hospitali ya Kilutheri ya Bumbuli (2008), Halmashauri zaidi zimeingia katika mikataba na vituo binafsi vya afya ili kutoa Huduma bora na nafuu hasa kwa wanawake wajawazito na watoto chini ya miaka mitano.

Tayari halmashauri 37 zimeishaingia katika mikataba ya utoaji wa…

Continue

Added by sona on October 8, 2012 at 10:55 — No Comments

TCMA yaadhimisha Jubilee ya miaka 75

CHAMA cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA), kimeeleza kuwa asilimia kubwa ya vituo vya afya vilivyopo maeneo ya vijijini vinakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo uhaba wa rasilimali watu jambo ambalo linakwamisha maendeleo ya afya vijijini.Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa TCMA, Dk. Isaya Tosiri, wakati wa kongamano la  Jubilee ya miaka 75 ya chama hicho tangu kuanzishwa…

Continue

Added by sona on September 24, 2012 at 13:13 — No Comments

Ufinyu wa Rasilimali tishio kwa afya nchini

Naibu waziri wa Afya na Ustawi wa afya Jamii Dk. Seif Rashidi, amekiri kuwa ufinyu wa rasilimali bado unaendelea kuwa tishio kwa Huduma za afya nchini licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na serikali.Dk. Rashidi aliyaeleza hayo wakati akihutubia katika ufunguzi wa mkutano wa 75 wa mwaka wa Chama cha Madaktari wa Kikristo Tanzania (TCMA) unaofanyika jijini Dar es…

Continue

Added by sona on September 19, 2012 at 9:07 — No Comments

Regional Health Management Team (RHMT) recommended PBF to enhance Performance in Health Sector

On 28th June 2012, Rungwe PBF Pilot Project Organized one day meeting for Regional Health Management Team (RHMT)- Mbeya Region and City Council Management Team Members (CHMT) at Regional Medical Officer (RMO) Conference room. It was part of Performance Based Financing (PBF) advocacy in the Region and we used the session as an opportunity to give feedback on the project implementation to the participants.

The meeting was officially opened by the Chairman of Christian Social Services…

Continue

Added by Sule, T.Michael on September 13, 2012 at 12:40 — 1 Comment

E-learning course on M&E of Human Resources for Health

A new eLearning course, an introduction to monitoring and evaluation of human resources for health, was recently published by CapacityPlus and is now accessible through the HRH Global Resource Center. The course introduces key monitoring and evaluation (M&E) concepts and explains how they apply to the field of human resources for health (HRH). It also…

Continue

Added by sona on September 11, 2012 at 9:43 — No Comments

More health facilities to use HRIS at CSSC Southern zone

The rolling up of the Human resource information system (HRIS) to some of the faith based organization (FBO)’s health facilities has increased high demand of the system need to more CSSC facilities. The HRIS connected facilities have improved data storage and analysis, and now are using quality data for planning and budgeting, hospital’s administrators are able to access…

Continue

Added by sona on September 10, 2012 at 12:01 — 3 Comments

AfyaMtandao kuhamasisha zaidi matumizi ya TEHAMA

AfyaMtandao kuhamasisha zaidi matumizi ya TEHAMA

Tume ya Kikristu ya huduma za jamii (CSSC) kupitia kitengo cha AfyaMtandao imepanga kujikita zaidi katika kuhamasisha matumizi ya Teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) katika hospitali za taasisi za dini na zile za binafsi ambazo zipo tayari kutumia teknolojia hiyo.…

Continue

Added by sona on August 31, 2012 at 12:14 — No Comments

Halmashauri ya wilaya ya Rufiji yapewa vifaa kuboresha Huduma ya mama na mtoto

Mradi wa kuboresha Huduma ya akina mama na watoto kwa njia ya TEHAMA “e-RCH for Better Care” unaotekelezwa kwa pamoja kati ya Tume ya Kikristu ya Huduma za jamii (CSSC), kupitia mradi wa AfyaMtandao, Chuo kikuu cha Afya Muhimbili kupitia kitengo cha elimu kwa njia ya mtandao, Shirika la ITIDO sambamba na Kampuni ya SoftMed, umetoa Kompyuta 2 na simu za mikononi 42 ambazo zitatumika katika shughuli za mradi kukusanya na kuhifadhi taarifa za akina mama wajawazito na watoto walio chini ya miaka…

Continue

Added by sona on August 15, 2012 at 11:36 — No Comments

Madhehebu ya dini yaanzisha Jukwaa la majadiliano kupambana na Ukimwi

Madhehebu ya dini ya Wakristo na Waislamu yamesaini makubaliano ya kuanzisha jukwaa la pamoja la majadiliano kuona namna gani watakavyoweza  kupambana na  maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa waumini wao.

Jukwaa hilo linalofahamika kama “Tanzania AIDS Interfaith Forum” (TAIFO) litaratibu na kusimamia shughuli za pamoja za kuzuia maambukizi  ya  Ukimwi kwa kutoa huduma itakayoboresha afya za watu wanaoishi na Virus vya Ukimwi na kutoa msukumo katika kubadili tabia kwa jamii, hasa katika…

Continue

Added by sona on August 15, 2012 at 11:30 — No Comments

Mfumo wa Kompyuta wa AfyaPro kufungwa hospitali ya Sengerema

Hospitali teule ya wilaya ya Sengerema inayomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita iko mbioni kuanza kutumia mfumo wa “AfyaPro” wa kukusanya na kuhifadhi  taarifa za afya kwa njia ya Kompyuta. Imeelezwa kuwa mfumo huo utafungwa katika idara tatu ambazo ni; mapokezi kwa ajili ya wagonjwa wa ndani na nje, maabara na katika kitengo cha upasuaji.



Meneja wa mradi wa “D-HMIS” ambao unaratibu ufungaji wa mfumo huo Bw. Deogratias Katonyela anasema, maandalizi ya ufungaji wa mfumo huo…

Continue

Added by sona on July 30, 2012 at 14:04 — No Comments

Nani anatoa huduma hizi- Who offers treatment?

Treatment

Hospitals

Contact who?

Surgery

KOLANDOTO Hospital,

BUKUMI hospital

Contact information for this treatment in this…

Continue

Added by adriaan bakker on December 15, 2010 at 17:26 — No Comments

Kuuza na Kununua- Bazaar

Bazaar will be here

Added by adriaan bakker on December 15, 2010 at 16:59 — No Comments

© 2024   Created by sona.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service