AfyaMtandao

August 2012 Blog Posts (3)

AfyaMtandao kuhamasisha zaidi matumizi ya TEHAMA

AfyaMtandao kuhamasisha zaidi matumizi ya TEHAMA

Tume ya Kikristu ya huduma za jamii (CSSC) kupitia kitengo cha AfyaMtandao imepanga kujikita zaidi katika kuhamasisha matumizi ya Teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) katika hospitali za taasisi za dini na zile za binafsi ambazo zipo tayari kutumia teknolojia hiyo.…

Continue

Added by sona on August 31, 2012 at 12:14 — No Comments

Halmashauri ya wilaya ya Rufiji yapewa vifaa kuboresha Huduma ya mama na mtoto

Mradi wa kuboresha Huduma ya akina mama na watoto kwa njia ya TEHAMA “e-RCH for Better Care” unaotekelezwa kwa pamoja kati ya Tume ya Kikristu ya Huduma za jamii (CSSC), kupitia mradi wa AfyaMtandao, Chuo kikuu cha Afya Muhimbili kupitia kitengo cha elimu kwa njia ya mtandao, Shirika la ITIDO sambamba na Kampuni ya SoftMed, umetoa Kompyuta 2 na simu za mikononi 42 ambazo zitatumika katika shughuli za mradi kukusanya na kuhifadhi taarifa za akina mama wajawazito na watoto walio chini ya miaka…

Continue

Added by sona on August 15, 2012 at 11:36 — No Comments

Madhehebu ya dini yaanzisha Jukwaa la majadiliano kupambana na Ukimwi

Madhehebu ya dini ya Wakristo na Waislamu yamesaini makubaliano ya kuanzisha jukwaa la pamoja la majadiliano kuona namna gani watakavyoweza  kupambana na  maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa waumini wao.

Jukwaa hilo linalofahamika kama “Tanzania AIDS Interfaith Forum” (TAIFO) litaratibu na kusimamia shughuli za pamoja za kuzuia maambukizi  ya  Ukimwi kwa kutoa huduma itakayoboresha afya za watu wanaoishi na Virus vya Ukimwi na kutoa msukumo katika kubadili tabia kwa jamii, hasa katika…

Continue

Added by sona on August 15, 2012 at 11:30 — No Comments

© 2024   Created by sona.   Powered by

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service