Hospitali teule ya wilaya ya Sengerema inayomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita iko mbioni kuanza kutumia mfumo wa “AfyaPro” wa kukusanya na kuhifadhi taarifa za afya kwa njia ya Kompyuta. Imeelezwa kuwa mfumo huo utafungwa katika idara tatu ambazo ni; mapokezi kwa ajili ya wagonjwa wa ndani na nje, maabara na katika kitengo cha upasuaji.
Meneja wa mradi wa “D-HMIS” ambao unaratibu ufungaji wa mfumo huo Bw. Deogratias Katonyela anasema, maandalizi ya ufungaji wa mfumo huo…
Added by sona on July 30, 2012 at 14:04 — No Comments
© 2024 Created by sona. Powered by